Adbox

Monday, July 15, 2019

Makamu wa Rais amwakilisha Rais Magufuli Mkutano wa Taasisi ya Kimataifa ya Elimu Maalum

Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu  amewasili Wilayani Lushoto Mkoani Tanga kumuwakilisha Rais  Dkt. John Magufuli kwenye ufunguzi wa Mkutano  Mkuu wa Nusu Mwaka wa Taasisi ya Kimataifa ya Elimu Maalum (International Association of Special Education.

No comments:

Post a Comment

Adbox