Adbox

Friday, July 19, 2019

Arsenal yakubali kumsajili beki kutoka Saint-Etienne

Klabu ya Arsenal imefikia makubaliano na klabu ya Saint-Etienne kumsajili beki William Saliba.

Katika mpango huo utamfanya Saliba kurejea kwenye klabu hiyo inayoshiriki Ligue 1 kwa mkopo msimu ujao.

Saliba mwenye miaka18 amecheza michezo 17 kwenye klabu ya Saint-Etienne msimu uliopita na alijumuishwa kwenye kikosi cha Ufaransa U20 kwenye kombe la Dunia kipindi hiki cha kiangazi.

No comments:

Post a Comment

Adbox