Kufuatia hali hiyo, TANROADS inawaomba watumiaji wa barabara ya Morogoro – Dodoma kutumia viunganisho mbadala ikiwemo barabara ya Morogoro – Iringa – Dodoma na mikoa mingine ya kanda ya kati katika kipindi hiki ambacho matengenezo katika eneo hilo yakiendelea.
TANROADS inasikitika kwa usumbufu uliojitokeza wakati tunaendelea na huhudi za kurudisha mawasiliano katika barabara hiyo.


No comments:
Post a Comment