Adbox

Tuesday, February 11, 2020

Watu 1016 wafariki kwa virusi vya corona nchini China

Idadi ya waliofariki kutokana na virusi vya corona nchini China imeongezeka na kufikia Watu 1016, uwezekano wa vifo kuongezeka ni mkubwa.

Watu walioathirika na virusi hivyo mpaka sasa ni 42,638 hii ni kwa China pekee, na kati yao Watu 7333 wako mahututi, Watu 21 657 wanahisiwa kuwa na virusi hivyo na idadi ya walioruhusiwa Kutoka Hospitali baada ya kupatiwa matibabu imeongezeka na kufikia 3996.

No comments:

Post a Comment

Adbox