Rammy amesema kuwa Salah ,27, bado hajafanya maamuzi na hakuna mazungumzo yaliofanyika na kudaiwa kuwa hawezi kuitwa mchezaji kwa meseji “Hapana uamuzi bado haujafanyika”, Salah bado hajaongea na Shawky na endapo atakubali atakosa Pre Season akiwa na Liverpool.
Michuano ya soka ya Olympic kwa kawaida inashirikisha timu za taifa zenye umri chini ya miaka 23 lakini kila nchi shiriki wanaruhusiwa kuongeza wachezaji watatu walio zaidi ya miaka 23 kama watapenda kufanya hivyo.


No comments:
Post a Comment