Wachezaji chipukizi wa mpira wa kikapu kutoka maeneo tofauti ya dunia wanatuambia ni kwa namna gani Kobe Bryant alikua muhimu kwao.
Mshindi wa mara tano wa michuano ya NBA, aliyeichezea timu ya LA Lakers na binti yake Gianna, aliyekua na umri wa miaka 13, walikua miongoni mwa watu tisa waliopoteza maisha wakati ndege ilipoanguka katika eneo Calabasas, California mwezi uliopita
Tuesday, February 25, 2020
Home
/
Top News
/
Wachezaji chipukizi wa mpira wa kikapu wamkumbuka Kobe Bryant kama mtu aliyewapa hamasa
Wachezaji chipukizi wa mpira wa kikapu wamkumbuka Kobe Bryant kama mtu aliyewapa hamasa
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment