Mchezo wa fainali ya Carabao Cup utafanyika katika dimba la Wembley jijini London, uwanja wenye uwezo wa kuingiza watazamaji 90,000.
Timu hizo mbili zinakutaka kuwania taji hilo wakati kila moja ikipambana kwa namna yake kwenye Ligi Kuu ya England. Wakati Man City ikipambana kuhakikisha ushindi ili iwakaribie mahasimu wao Liverpool, Aston Villa inapambana kuhakikisha kuwa haishuki daraja.


No comments:
Post a Comment