Mtuhumiwa Hamad Mbaraka (32) mkazi wa Barabara ya 19 Ngamiani Kusini amekamatwa na Maafisa wa Mamlaka ya Kuthibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya Jijini Tanga akiwa na mfuko mmoja, pakiti ndogo 3, Kete moja yenye unga unaodhaniwa kuwa ni Dawa za kulevya.
Mtuhumiwa yuko mahabusu Chumbageni
Monday, February 17, 2020
Mtuhumiwa wa madawa ya kulevya akamatwa Tanga
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment