Idadi ya vifo kutokana na virusi hivyo nchini China imeongezeka hadi watu 361 kufikia jana Jumapili.
Mkutano huo wa G7 umepangwa kuanza mchana leo kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na wizara hiyo ya afya ya Italia ambapo mawaziri kutoka Marekani, Canada, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani Japan na Italia wataunganishwa kwa njia ya simu.


No comments:
Post a Comment