Adbox

Wednesday, February 12, 2020

Katibu mkuu wa chama tawala nchini Kenya apata ajali akielekea kwenye mazishi ya Rais Arap Moi

Mkuu wa chama tawala nchini Kenya kiitwacho Jubilee, Raphael Tuju,  amepata ajali katika eneo la Magina, Barabara Kuu ya Nakuru-Nairobi. Tuju alikuwa akielekea kwenye mazishi ya rais mstaafu wa Kenya, Daniel Arap Moi,  eneo la Kabarak ambapo anatarajiwa kuzikwa leo Jumatano, Februari 12, 2020

Ripoti zinasema kuwa gari alimokua akisafiria liligongana na matatu na kupata majeraha madogo ingawa dereva wake amevunjika mkono katika ajali hiyo ya leo asubuhi lakini Tuju atapelekwa Nairobi kwa uchunguzi zaidi.

No comments:

Post a Comment

Adbox