Akizungumzia tukio hilo, Waziri Simbachawene amesema serikali inafikiria kutengeneza kanuni za uanzishwaji wa huduma za kiroho kuwa lazima mchungaji awe amesomea theolojia.
Mtume Mwamposa atapelekwa mjini Moshi kwa ajili ya kufunguliwa mashtaka.

About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment

No comments:
Post a Comment