Mvutano umeongezeka kati ya Iran na Marekani baada ya kamanda wa ngazi ya juu wa kijeshi, Qassem Soleimani kuuawa katika shambulizi lililofanywa na Marekani kwa kutumia ndege isiyo na rubani Januari, 3 mwaka huu.
Mauaji hayo yaliichochea serikali ya Iran kulipa kisasi kwa kufanya shambulizi katika kambi ya kijeshi ya Marekani ya Ain al Assad iliyoko nchini Iraq, siku chache baadae.


No comments:
Post a Comment