Basi la kampuni ya Premier linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Mbeya limegongana uso kwa na lori lenye namba za usajili T486 ANU ambalo lilikuwa likivuta tela lenye namba T 775 APT ambapo limesababisha Vifo vya Watu wawili na majeruhi wanane. Ajali hiyo imetokea asubuhi hii katika kijiji cha Inyala.
Jitihada zinaendelea kwa sasa ni nikuliondoa lori ambalo limeegeshwa barabarani ili kuruhusu magari mengine yaweze kupita.
Friday, February 7, 2020
Basi la kampuni ya Premier lagongana na lori na kusababisha vifo
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment