Adbox

Wednesday, November 27, 2019

Serikali kuangalia manufaa ya mpango wa kupeleka umeme viijijini

Serikali imeaza kufanya utafiti wa kuangalia manufaa yayopatikana kutokana na utekelezaji wa mpango wa kupeleka umeme viijijini.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Amos Maganga alisema utafiti huo unaofanywa kati ya REA wizara ya Nishati na Ofisi ya Taifa ya Takwimu umelenga kuzifikia kaya 12,600 kutoka mikoa yote 26 ya Tanzania Bara.

 “Tunakwenda kufanya utafiti wa kuangalia manufaa ambayo jamii imeyapata kutokana na utekelezaji mpango wa kupeleka umeme vijijini ikiwa ni katika huduma za kijamii na kiuchumi," amesema.

No comments:

Post a Comment

Adbox