Mshambuliaji wa kimataifa wa England na Manchester City, Raheem Sterling hatotia saini mkataba wenye thamani ya pauni £450,000 kwa wiki.
Sababu kubwa ni hadi pale atakapothibitisha kocha Pep Guardiola atasalia katika klabu ya Manchester City kwa kipindi cha muda mrefu.
Sterling mwenye umri wa miaka 24 amekuwa mmoja wa wachezaji bora Epl kwasasa chini ya usimamizi wa Guardiola, na ana uhusiano mkubwa na meneja wa huyo.
Monday, November 25, 2019
Raheem Sterling awatunishia msuli Man City kisa Pep Guardiola
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment