Yanga SC wamepoteza Mchezo wa Shirikisho Afrika wakiwa nyumbani katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kwa kuchapwa goli 2-1 dhidi ya Pyramids FC kutoka nchini Misri.
Magoli ya Pyramids FC yamefungwa na Erick Traory 42', Abdallah Saed 62', huku goli pekee la Yanga SC likifungwa na Papi Tshishimbi 88'.
Katika hatua nyingine mchezo wa Ligi Kuu Tanzania kati ya Simba SC na Singida United umemalizika kwa Simba SC kushinda 1-0, goli hilo limefungwa na Miraji Athumani 42'.
Sunday, October 27, 2019
Yanga SC wachapwa na Waarabu, Simba SC Haooo
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment