Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kupitia Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, limeweka jiwe la msingi ujenzi wa majengo ya Ofisi za TANESCO Mkoa wa Geita na Wilaya ya Chato kuashiria kuanza rasmi kwa ujenzi huo chini ya mkandarasi TBA.
Huu ni mwendelezo wa jitihada za TANESCO kuboresha sekta ya huduma kwa wateja na kujenga majengo yake binafsi katika ofisi zote za mikoa na Wilaya Nchini.
Hatua ambayo itasaidia kuondokana na adha ya kupanga nyumba za watu binafsi zenye nafasi ndogo na gharama kubwa.
Wednesday, October 16, 2019
TANESCO yaanza ujenzi Ofisi Chato na Geita
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment