Adbox

Tuesday, October 1, 2019

Rais Magufuli afanya teuzi mbalimbali

Rais John Magufuli amefanya teuzi mbalimbali za Wakurugenzi wa Halmashauri za Manispaa na Wilaya, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Mkuu wa Itifaki (Chief of Protocal) na Uhamisho wa Wakurugenzi wa Halmashauri.

No comments:

Post a Comment

Adbox