Adbox

Sunday, October 27, 2019

Patrick Aussems ashangazwa na alichokiona Arusha

Alichokiandika Kocha wa klabu ya Simba, Patrick Aussems mara baada ya kukutana na jukwaa la Fiesta katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

Ikumbukwe Simba na Singida United watakuwa wanakipiga leo katika mechi ya Ligi Kuu Bara.

No comments:

Post a Comment

Adbox