Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kuangalia changamoto mbalimbali zilizopo kwenye hospitali hiyo na kuuagiza uongozi wa hospitali hiyo kushughulikia na kusimamia vizuri matumizi ya fedha kwaajili ya mahitaji yaliyopangwa.
Friday, October 11, 2019
Makamu wa Rais azuru Hospitali ya Mkoa na kutoa onyo
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment