Maaskofu wa Kanisa Katoliki Amerika ya Kusini wamependekeza kuwaruhusu baadhi ya Wanaume waliooa kufanya kazi za Upadri
Pendekezo hilo limepitishwa kwa kura 128 dhidi ya 41 zilizokataa, hata hivyo lazima Papa Francis apitishe pendekezo hilo.
Ruhusa hii itazihusu nchi za Bolivia, Brazil, Colombia, Ecuador, French Guiana, Guyana, Peru, Suriname na Venezuela. Katika nchi hizo imethibitika kuwa kuna uhaba mkubwa wa Mpadre
Tuesday, October 29, 2019
Maaskofu wa Kanisa Katoliki wapitisha pendekezo la kuwa na Mapadri walooa
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment