Adbox

Wednesday, October 16, 2019

Diamond Platnumz atunukiwa Tuzo ya Heshima nchini Canada

Taasisi ya Kiswahili nchini Canada, Swahili Vision International Association(SVIA) imemtunuku Tuzo ya Heshima msanii Diamond Platnumz kwa kukuza na kueneza lugha ya Kiswahili kimataifa kupitia muziki wake.

No comments:

Post a Comment

Adbox