Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula amesema kuwa, chama hicho hakitamvumilia Mwanachama yeyote anayetumia rushwa kutafuta uongozi.
Mangula ametoa kauli hiyo mkoani Simiyu wakati wa kikao cha utoaji wa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM mkoani humo.
"Hatutaki viongozi wapenda rushwa, tunataka watu wenye moyo wa kuwatumikia Wananchi, maana rushwa ni adui wa haki, yeyote atakayetumia fedha zake kununua kura hata kama atapata kura nyingi kiasi gani tutamfyekelea mbali," amesisitiza Mangula.
Tuesday, October 29, 2019
CCM yawaonya wanaotumia rushwa kusaka uongozi
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment