Rubani mwanafunzi amefanikiwa kutua salama na ndege baada ya mwalimu wake kuzirai akiwa mitamboni nchini Australia.
Max Sylvester, aliwasiliana kwa dharura na waelekezi wa ndege saa moja baada ya mwalimu wake kuzirai wakiwa angani siku ya Jumamosi.
Alipoulizwa kama anajua jinsi ya kupaisha ndege aina ya Cessna, alijibu: "Hili ni somo langu la kwanza".Wahudumu hao walimsaidia kutua ndege salama katika uwanja wa ndege wa Perth.
Tuesday, September 3, 2019
Rubani azirai ndani ya ndege, mwanafuzi ashika usukani na kutua salama
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment