Adbox

Friday, September 6, 2019

Rais Magufuli amjulia hali Mkurugenzi Mkuu mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa Apson Mwang'onda anayepatiwa matibabu Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Adbox