Rais Magufuli amemteua Dkt Amina Msengwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kuanzia Septemba 19, akichukua nafasi ya Andrew Massawe ambaye amemaliza muda wake. Dkt Msengwa ni Mhadhiri na Mkuu wa Idara ya Takwimu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
Wednesday, September 25, 2019
Rais Magufuli afanya Uteuzi mwingine leo
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment