Mahakama ya Gauteng ya nchini Afrika Kusini imeamuru ndege ya Air Tanzania (ATCL) Airbus A220-300 iliyokuwa inashikiliwa nchini humo kuachiwa. Mahakama pia imemtaka mlalamikaji kulipa gharama za kesi hiyo.
Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abas amethibitisha hilo katika ukurasa wake wa Twitter hii leo.
Ndege hiyo ilishikiliwa nhini Afrika kusini kufuatia kesi ya fidia inayomhusu Bwana Hermanus Steyn wa nchi hiyo na Serikali ya Tanzania.
Wednesday, September 4, 2019
BREAKING: Mahakama Afrika Kusini yaamuru ndege ya Tanzania kuachiwa
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment