Adbox

Monday, August 12, 2019

Waislam Washerehekea Eid Al Hajj

Waumini ya dini ya Kiislam nchini Tanzania wameuangana na wenzao duniani kote kusherehekea Sikukuu ya Eid Al Hajj ambayo Swala ya kitaifa imefanyika katika viwanja vya Masjid Kibaden Chanika Zogowali Ilala jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Adbox