Adbox

Monday, August 19, 2019

Picha: Mabalozi wa Tanzania na nje ya nchi wawasili Zanzabir kwa ziara

Mabalozi wa  Tanzania Nje ya Nchi zaidi ya 32 wamewasili visiwani Zanzibar  leo julai 19 kwa ziara maalum ya kutembelea miradi ya maendeleo Nchini ikiwa ni muendelezo wa ziara zao za kukagua Miradi mbalimbali ya kimaendelo inayotekelezwa Nchini.


Mabalozi hao wamewasili na boti ya saa Tatu Asubuhi wakitokea Jijini Dar es Salaam majira ya saa moja Asubuhi.


No comments:

Post a Comment

Adbox