Kocha wa Arsenal,Unai Emery ameshauriwa kumteua David Luiz kuwa nahodha mpya wa timu hiyo.
Luiz alijiunga na Arsenal hivi karibuni akitokea Chelsea Kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni nane.
Beki wa zamani wa Arsenal, Nigel Winterburn, amesema kuwa Luiz atafaa kuwa nahodha wa Arsenal katika msimu huu wa 2019/20.
"Nadhani itakuwa uamuzi sahihi kwa Emery kumfanya Luiz kuwa nahodha kwa msimu huu ana sifa za kuwa kiongozi," amesema.
Monday, August 19, 2019
Kocha wa Arsenal ashauriwa kumpa unahodha David Luiz
Tags
# Tetesi za soka
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Tetesi za soka
Tags:
Tetesi za soka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment