Klabu ya Chelsea leo itacheza mchezo wake wa pili wa Ligi Kuu England dhidi ya Leicester City.
Mchezo huu utakuwa ni wa kwanza kuwa nyumbani baada ya ule wa kwanza kupoteza ugenini kwa kufungwa mabao 4-0 mbele ya Manchester United.
Frank Lampard, Meneja wa Chelsea amesema kuwa utakuwa mchezo mgumu na wenye ushindani mkubwa.
Mchezo huu utachezwa uwanja wa Stamford Bridge.
Sunday, August 18, 2019
Chelsea ya Lampard kukipiga Darajani kwa mara ya kwanza leo
Tags
# Habari za Michezo
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Habari za Michezo
Tags:
Habari za Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment