Adbox

Tuesday, July 16, 2019

Waziri wa Maji Prof. Mbarawa afanya uteuzi huu

Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa  amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa mamlaka za majisafi na usafi wa mazingira Kahama na mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Tabora pamoja na kaimu mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya majisafi na usafi wamazingira Bukoba.

No comments:

Post a Comment

Adbox