Mbunge wa Jimbo la Jang'ombe (CCM, Ali Kingi amefunguka kuhusiana na hali ya kisiasa nchini ambapo amesema vyama vya upinzani vitapata tabu sana kutokana na uchapaji kazi na kukubalika kwa Rais Magufuli kwa wananchi.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE


No comments:
Post a Comment