Adbox

Thursday, August 1, 2019

VIDEO: CUF yatikisa Handeni Vijijini, mamia wachukua kadi/ Mbunge, Diwani wafunguka




Wabunge saba wa CUF Jumatano hii wameendelea na ziara yao ya kukagua uhai wa chama chao katika baadhi ya vijiji vya jimbo la Handeni Vijijini ikiwemo Hoza, Ruye, Sezakofi, Kwamsisiri nk . Katika ziara hiyo mamia ya watu wamechukua kadi za CUF katika baadhi ya vijiji ambavyo wamevitembelesa ndani ya jimbo hilo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBCRIBE

No comments:

Post a Comment

Adbox