Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi Iliyoketi jana Jijini Dodoma chini ya Mwenyekiti CCM Taifa Rais Dkt John Magufuli, imemteua Miraji Jumanne MTATURU Kuwa Mgombea Ubunge wa CCM Katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Singida Mashariki baada ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Tundu Lissu kuvuliwa Ubunge.
Wednesday, July 17, 2019
CCM wampitisha huyu kumrithi Tundu Lissu
Tags
# Habari Za Kisiasa
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Habari Za Kisiasa
Tags:
Habari Za Kisiasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment