Usiku wa siku Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limemtangaza mwamuzi atakayechezesha fainali ya AFCON ni Victor Gomes kutoka Afrika Kusini.
Jana mchana ilitoka taarifa kwamba mwamuzi Bamlak Tessema Weyesa kutoka Ethiopia ndio atachezesha mchezo wa fainali ya AFCON 2019 kati ya Senegal na Algeria.
Ikumbukwe kwenye mchezo wa Madagascar dhidi ya DR Congo mwamuzi alibadilishwa saa matano kabla ya mchezo husika kuanza, kitendo ambacho kililalamikiwa sana na kuibua maswali mengi.
Wednesday, July 17, 2019
CAF watangaza Mwamuzi mwingine kuchezesha fainali ya AFCON 2019
Tags
# Michezo
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Michezo
Tags:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment