Shirikisho la soka la Afrika CAF limefanya mabadiliko ya mwamuzi wa mechi ya fainali ya AFCON 2019 kati ya Senegal na Algeria zikiwa zimepita saa 24 tangu wamtangaze mwamuzi wa Afrika Kusini Victor Gomes kuwa ndiye atakayechezesha mechi hiyo.
Shirikisho hilo sasa limemtangaza Mwamuzi Neant Alioum kutoka Cameroon kuwa ndiye atakayeshika filimbi hapo kesho.
Mwamuzi huyo ambaye jana ametimiza umri wa miaka 37, alichezesha mechi ya ufunguzi ya michuano hii kati ya Misri na Zimbabwe.
Thursday, July 18, 2019
CAF wabadilisha tena Mwamuzi atakayechezesha fainali ya AFCON
Tags
# Michezo
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Michezo
Tags:
Michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment