Adbox

Saturday, July 20, 2019

Algeria bingwa wa AFCON.

Algeria imefanikiwa kunyakua ubingwa wa kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kuiondoa Senegal kwenye fainali za michuano hiyo ilipoifunga bao 1-0.
Bao hilo la ushindi lililopatikana katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo na lilifungwa katika dakika ya pili na mshambuliaji wa Algeria Baghdad Bounedjah.

No comments:

Post a Comment

Adbox