Adbox

Tuesday, March 17, 2020

TFF yasimamisha ligi zake zote

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) limesimamisha ligi zake zote ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa kufuatia mlipuko wa virusi vya Corona ambao umeingia nchini.

No comments:

Post a Comment

Adbox