Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Meja Jenerali (mst) Gaudence Milanzi akiwa ubalozi wa Kenya jijini Pretoria atoa pole na kusaini kitabu cha rambirambi kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Kenya Mzee Daniel Arap Moi, akiwa ndiye balozi wa kwanza kufanya hivyo katika mabalozi wanaowakikilisha nchi zao Afrika ya Kusini.
Wednesday, February 5, 2020
Home
/
Top News
/
Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini atia saini kitabu cha rambirambi Kenya kufuatia msiba wa Rais Moi
Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini atia saini kitabu cha rambirambi Kenya kufuatia msiba wa Rais Moi
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment