Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Mwakyembe leo amezindua kamati maalum kwaajili ya kusimamia haki za kazi za wasanii.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo atakuwa ni Sarah Nsangizyo Zilahulula na Katibu wake atakuwa ni Dkt. Kiagho Kilonzo ambaye ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania (TFB).
Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dar es Salaam, Dkt. Mwakyembe ameitaka kamati hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kuhakikisha wasanii wanafaidika na kazi wanazozifanya badala ya kudhulumiwa.
Wednesday, October 23, 2019
Kamati ya Haki za Wasanii yazinduliwa
Tags
# Top News
About Sultan Mapigo
SULTAN MAPIGO: Kuwa wa kwanza kuhabarika, Tafadhari usisahau kusubscribe kushare na kucomment
Top News
Tags:
Top News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment